Sunday, October 20, 2019

DALILI CHACHE 20 ZA MTU ALIEKUMBWA NA JINI +255757570194

DALILI CHACHE 20 ZA MTU ALIEKUMBWA NA JINI

Zifuatazo ni baadhi tu ya dalili za mtu anayekubwa na jini wa kutumwa au wa kupamia:

1.Kuumwa kichwa upande mmoja,maskio,meno,mgongo na kifua kuwa kinabana
2.Kuumwa tumbo chini ya kitovu
3.Moyo kwenda mbio na kushtukashtuka bila sababu
4.Mwili kuwa na ganzi maumivu makali na kizunguzungu
5.Kuumwa tumbo sana kwa kina mama na kupata damu kidogo sana isivyo kawaida au nyingi sana
6.Kujihisi vitu vinatembea mwilini
7.Kutingishika na hata kulia bila sababu za msingi
8.Kufunga hedhi bila ujauzito au hata kutopata ujazito wakati vipimo vinaonyesha hauna matatizo yyte
9.Kuota una mimba,unazaa,unanyonyesha au unabeba watoto
10.Kujaa tumbo na kuhisi kitu kinacheza tumboni bila uja uzito
11.Kuharibika mimba baada ya kuota unaingiliwa na mtu anayetisha
12.Ndoto za tendo la ndoa mara kwa mara
13.kuvurugikiwa mipango ya ndoa mara kwa mara
14.Kuhisi kama umekaa au umesimamiwa na mtu
15.Kutopenda ibada na kupenda sana maasi
16.Kuwa na hofu bila ya sababu
17.Kuota ndoto za kutisha,unazikwa,unakufa,jeneza,unatumbukia shimoni,unapaa nk
18.Kulia,kucheka,kupiga kelele au kuongea hali ya kuwa upo usingizini
19.Kuota unaongea na watu waliokufa
20.Kushtuka mara kwa mara usingizini
Hizi ni baadhi tu na chache sana za watu waliokumbwa na majini zingine ni advance mfano:
1: kuota unazini na mama baba au watu zaidi ya wawili mnazini,
2: kuota unaoa na kumpa mtu taraka hapo hapo na kuzini na mama au baba wa mwenza
3: kujihisi una mwili mkubwa kuliko watu wote na unawaona kama sisimizi hali inayokuja na kupotea,
4: Kuota wewe ni mdogo na wanaokuzunguka ni watu wazima na wamekubeba hali ya kuwa ni mtu mzima
Zitaendelea dalili zingine..
+255757570194

No comments:

Post a Comment

MJUE JINI MAHABA: Fahamu Mengi kuhusu jini mahaba +255757570194

MJUE JINI MAHABA: Fahamu Mengi kuhusu jini mahaba Habari wakuu! Wengi miongoni mwenu huona kila ninapotoa thread huona kama vile huf...