FAHAMU KUHUSU MMEA WA MUOSHA FEDHA
Muosha fedha unaingia kwenye orodha ya mimea saba ambayo inafanya
kazi kubwa katika hitaji binaadam. Mti huu huweza kungarisha nyota,
kuvuta watu biashara pamoja na mambo mengine.
Miongoni mwa miti saba ambayo inafanana kikazi na muosha fedha ni pamoja na mwita, mfunguo, muharaka miti mitatu naihifadh.
Miti Hii km utaiweka pamoja inaweza kukupa matokeo haraka kwwnye kazi iliyokusudiwa.
Kwa matumizi kwa ajili ya biashara
Tafuta muosha fedha Chumvi ya mawe Pilipili nyekundu unga Mwita
Changanya pamoja choma eneo lako la biashara kwa manuiz asubuhi kabla ya kufungua kwa muda wa ck tatu
Kwa kujifungua na nuksi au mikosi
mambo hayaendi Sawa unalopanga haliwi
Tafuta Kindu 7 Muosha fedha Nazi ya mdondo. Yai la kuku wa kienyeji. majani ya mbaazi unga Mwembe jini
Chukua kindu saba usiku wakati unataka kulala kisha uzifunge fundo
moja moja kisha unasema mimi nimefungwa kilakitu na alienifunga simjui
sasa namimi nimejiongezea kifungo nafunga njia zangu pia nafunga ufalme
wangu na nafunga nyota zangu hadi siku zitakapo fungua hizi kamba. Kisha
unaziweka mchagoni unalala na ikifika asubuhi unazitia ndani ya maji
kwenyendoo ya kuogea weka na nlvyovtaja hapo juu.
Oga hivyo vyote vikiwa ndani ya hiyo ndoo ya maji kisha unaanza kufungua kindu kwa kusema,
"alie nifunga alijua kamaliza sasa kuanzia sasa najifungua"
Ukimaliza kuzifungua uzichome moto halafu nazi na yai ni vya kuvuja kwa
manuizi, Unasema wewe yai umefungwa na sijui kama unamtoto wa kike au wa
kiume namimi sijui alie nifunga kama ni wa kike au ni wa kiume
nitakavyo kufungua wewe yai namimi nifunguke haraka sana, unalivunja.
Kisha unakamata nazi unasema wewe nazi hufunga na kufungua namimi
najifungua kuanzia sasahivi nafungua nyotayangu, nafungua ufalme wangu,
nafungua, nafungua bahati zangu kwa uwezo wa muumba mbingu na ardhi.
Ukimaliza kuvunja zoa katupe jalalan
Kwa ajili ya bahati au mvuto wa mtu
Tafuta muosha fedha unga
Unga wa Misk
Mafuta ya Misk
Mafuta ya alizet
Changanya pamoja Paka na kuchoma kwa manuizi ndani ya ck 7 biidhini llah mambo yako yatafunguka
Kazi zote muelekee mungu kwanza
Kwa tatizo lolote +255757570194
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MJUE JINI MAHABA: Fahamu Mengi kuhusu jini mahaba +255757570194
MJUE JINI MAHABA: Fahamu Mengi kuhusu jini mahaba Habari wakuu! Wengi miongoni mwenu huona kila ninapotoa thread huona kama vile huf...
-
FAHAMU KUHUSU MMEA WA MUOSHA FEDHA Muosha fedha unaingia kwenye orodha ya mimea saba ambayo inafanya kazi kubwa katika hitaji binaadam. Mt...
-
Juni 16, 2018 DAWA YA MWIZI AU MTU ALIYEKUZULUMU HII ni kwa wale walioibiwa jinsi ya kurudisha ktu chako na kuadhibu mwizi haraka m...
-
DALILI CHACHE 20 ZA MTU ALIEKUMBWA NA JINI Zifuatazo ni baadhi tu ya dalili za mtu anayekubwa na jini wa kutumwa au wa kupamia: ...
No comments:
Post a Comment